Habari, nina kuku wa mayai 230. Wana miezi minne na wiki moja. Nimekwama kwenye kuwalisha. Bei ni tsh. 10,000 tu kwa kuku mmoja.
Km upo interested nicheck kweny 0787329281
Au km yupo unaemfahamu anayetoa chakula cha kuku wa Layers kwa mkopo tafadhali nifahamishe. Natanguliza shukran
Siwezi kufanya biashara yoyote kichwa kichwa ndugu yangu kwasababu kuna watu wanaifanya, kufanya hivyo ni km kutest kina cha maji na miguu yote miwili utazama au kuvuka main road huku umefunga macho utagongwa tu
Sijamkosea kitu Kaka, wala hata sifahamiani naye. JF ina watu wa aina tofauti tofauti na kwa kulijua hili mapema nikaandika ya kuwa napokea pia na maoni negative
Nimewahi kwenda ofisini kwao na ninajua vigezo vyao, what I wanted to know, sijui kama umeisoma hiyo thread na kuielewa vizuri ni kutaka kufahamu experience ya biashara yenyewe, hiki ni kitu ambacho hawatoweza kukushauri unbiased kwasababu wao wapo behind the desk kumonitor mambo ya IT na...
Guys natamani sana kuifanya hii biashara ya Tax kwa njia ya mtandao kama vile kupitia Uber na Bolt lakini sijui ijui sana bishara hii, mwenye kufahamu lolote kuihusu hii biashara anipe info’s kidogo. Ninachotaka kukifanya ni kuchukua gari ya mtu na kuifanyia hiyo kazi kwa hesabu au mkataba...
Ataongea naye nini? Ataanza kumwambia nini? Mimi nimewahi kukutana na mazingira yanayokaribia kufanana na hayo. Mwanzoni nilikasirika sana nikataka kuhama ila nikatafakari kila nyumba ya kupanga ipo na changamoto zake japo zinaweza zisifanane, sasa utahamia wapi ambako hamna changamoto kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.