Ni vizuri kutumia vizuri hiyo YES yao kwa kutambua kama wanajali au la, kwani itakuwa ni hivyo kwa kila Brother atakayeomba. Hivyo basi ni bora ukatulia na huyo mmoja unayeamini anakupenda kweli.kwani kwa ujumla mapenzi ya kweli cku hz ni adimu sana...wadhani nini sababu ya ndoa nyng...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.