Ni kweli Kibamba Kuna maji na Kwa sehemu kubwa ndipo wanapoyatoa maji wanayotuuzia. Changamoto ya maji ni kubwa sana Kwa Dar kuliko Mwanza. Watu wananyia maji siasa
Kuna uhaba mkubwa sana wa Maji maeneo ya Kwa Msuguri, Dar. Ni zaidi ya wiki tatu Sasa maji hayatoki na bili zinaletwa.
Watu tunanunua maji Kwa gharama kubwa.
Au ni mbinu ya DAWASA ili watu wafanye biashara ya maji?
Uhaba wa Maji huku ni zaidi ya Mwanza
AWESO.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.