Recent content by baba ngida91

  1. B

    Msaada biashara ya kufanya

    taaluma yang ni electronics n telecommunication eng diploma pia nina cheti cha CCNA ila kazi nayofanya sio ya taaluma yangu.. nilitaka nitoke kwemye ajira na nijiajiri mkuu
  2. B

    Msaada online course nzuri kwa soko la ajira

    Habari wakuu, Samahani naomba idea ya course nzuri nayoweza kujiajiri kwa haraka ndugu zangu mfano kama graphics designs
  3. B

    Msaada biashara ya kufanya

    Habari mimi ni muajiriwa wa sekta binafsi na natamani nipate msaada wa wazo la kibiashara litakalonikwamua na kunitoa kwenye kuajiriwa. Wazo langu nilitamani nifanye house floor plan na kuziuza hizo ramani kwa watu tafadhari mwenyew idea na uelewa wa hii biashara naomba ushauri nitatoka? Na...
  4. B

    Msaada nifanye biashara gani?

    Habari mimi ni muajiriwa wa sekta binafsi na natamani nipate msaada wa wazo la kibiashara litakalonikwamua na kunitoa kwenye kuajiriwa.. Wazo langu nilitamani nifanye house floor plan na kuziuza hizo ramani kwa watu tafadhari mwenyew idea na uelewa wa hii biashara naomba ushauri nitatoka? Na...
Back
Top Bottom