Ukweli Zitto mm nakufagilia ile mbaya mdogo wangu. Niliisoma thread yako ya mkasa wa issue ya dini na kampeni zako kule vijijini jimboni kwako uliyoielekeza kwa speaker nikagundua kichwa yako iko vizuri. So man you call me at any time that we hav much to share anytime from now! Hope we need to...
Nadhani Tanzania tunahitaji social and economic development badala ya kupendeza huku kapuku. I wish tungetamani kusikia kafanya nini au kaongea nini huko kinachoweza kulibeba taifa letu hata kama tunapungukiwa presentability!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.