Recent content by baba melissa

  1. baba melissa

    Namshangaa Mh. Mbowe....!!

    Akili yako haina akili
  2. baba melissa

    Kutoka Jangwani: Uzinduzi wa Kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) - Agosti 29, 2015

    Kwa mwenye uelewa mkubwa atasadiki hizi sera za lowassa Linganisha vipaumbele vya hawa Wagombea wetu, LOWASSA, 1.Elimu 2.Kilimo 3.Afya 4.Mawasiliano 5.Nidhamu pamoja na Utawala bora. Kwenye kona ya kitalaaam Lowassa yuko vizuri sana amegusa mahitaji ya jamii kwa kutumia lugha ambayo...
  3. baba melissa

    Muhimu kwako Mtanzania: Kwa hili dunia na nchi jirani watatushangaa sana

    Hiyo ni politics strategies....kwani wewe hujiulizi kilichomfanya nape nnauye kuanza kumsifia dr slaa na lipumba baada ya kujitoa ukawa?������ Mnamezeshwa vitu vya kijinga mnakwepa point za muhimu. Hebu jiulize na wewe haya maswali. MAGUFULI...
  4. baba melissa

    Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye ahamia upinzani Rasmi - Agosti 22, 2015

    Duuh! Mwaka wa shetani kwa ccm huu, ila no matter what ccm hamna chenu safari hii, maisha haya na fursa zilizopo ktk nchi yetu ni vitu viwili tofauti
Back
Top Bottom