Recent content by Baba mamu

  1. B

    Halima Mdee: Mtaji wako nini hasa? Kawe maendeleo yamedorora miaka mitano sasa

    matusi haya jengi. mtoa mada umesema ukweli
  2. B

    Tanzania tunahitaji wapinzani wa kweli

    TANZANIA TUNAHITAJI WAPINZANI WA KWELI Kwanza napenda kumshukuru Mola wangu kwa kuweza kunipa siha njema ambayo ndio silaha yangu katika kupambana na madhira ya ulimwengu huu. Napenda kutumia nafasi hii kwanza kutoa yale yangu ya moyoni bila ya kujali au kuogopa chochote na kuafnya...
  3. B

    Prof lipumba?

    Baada ya kukaa kwa muda na kufanya tafakuri makini nimeona sasa nichukue nafasi hii kuwauliza wadau wa siasa, kwani inawezekana kuna ambaye anaweza kunipa jibu juu ya mkanganyiko huu unaosumbua akili yangu. Prof Lipumba ni miongoni mwa tunu ndani ya taifa hili. Bila ya kupoteza muda naomba...
  4. B

    Siasa za Njaa zitatuponza

    Hivi karibuni kumekuweko na matukio mbali mbali hususani chama cha Demokrasia na maendeleo. Tumeshuhudia viongozi wakitimua kwa makosa mbali mbali na wengine wakifukuzwa kwa kutaka kujua au kusimamia msimamo ambao unawanyima fursa wengi wa kutumikia matumbo yao kwahiyo watu kama hao katika...
  5. B

    USHAHIDI wa NYARAKA zinazomuhusu Zitto Zuber Kabwe

    hakuna ushahidi kama huu wa kibwege
  6. B

    Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

    kwanza kabisa napenda kutoa rai mimi ni mtanzania ambaye naitaji mabadiliko kwa ajili ya maendeleo ya nchi hii. mabadiliko ambayo ccm imeshindwa kuyafanya hivyo basi niliamini kuwa vyama vya upinzani vitakuwa chachu ya mabadiliko hayo lakini ni tofauti. kwan mwaka 1995 niliamini kuwa Nccr...
  7. B

    Unafiki wa Zitto Kabwe na suala la Posho - Lema

    acha kuongea bila ushahidi kama ni kweli anashiliki kuiujumu chadema mbona ajafukuzwa? lete ushahidi.
  8. B

    Unafiki wa Zitto Kabwe na suala la Posho - Lema

    kwa hoja ya Lema ni hoja ya kitoto na ambayo inakosa mashiko kwani hakuna uhalusia, maneno ambayo ameyaandika hayana tofauti na maneno ya katika taarabu hivyo kama kweli Lema ni mkweli na mpenda maendeleo ya wananchi wake kuna mambo mengi ya kujadili na sio suala la malumbano na Zitto kwani kwa...
  9. B

    Viongozi wa CHADEMA kutoa majibu ya UONGO dhidi ya hoja za kweli za Mwigamba ni kwa faida ya nani?

    kutoka na nakala zilizowekwa hapo juu zinaonyesha wazi jinsi gani viongozi wetu wapo kwa ajili ya maslahi yao na bila ya kujali au kutokujua ni nini wanafanya katika uongozi wao. sio mara ya kwanza kwa Dr Slaa kuropoka katika media bila ya kujua nini anafanya , kwa kitendo cha katibu mkuu wa...
Back
Top Bottom