Hujaelewa nini hapo? simply nisaidie kurudisha wireless kwenye PC,Kwa sasa sioni hata hata icon ya WI-FI hata hiyo Flight mode siioni kabisa,! Hizo screenshot ndivvyo inavyoonekana, nikijaribu troubleshoot napewa option ya kutumia cable( kumbuka nahitaji KUUNGA Hotspot kutoka kwenye simu)
Hebu fafanua mkuu hiyo "window icon" naipataje? fafanua kama upo na begginers sio advanced mkuu. Mimi binafsi PC yangu imepoteza internet kabisa baada ya kufanya setting kwenye BIOS. Ukinisaidia nitashukuru
Habarini wataalamu,
Jana kuna settings nilikuwa nafanya kwenye BIOS, nadhani hapo ndipo tatizo lilipotokea, maana niliporudi huku kwenye desktop, WI-FI ikapotea kabisa. Naombeni msaada au maelezo ya kina nirudishe HOTSPOT. Napenda zaidi kutumia wireless kutoka kwenye simu.
Asanteni
Hii kitu inaitwa WIN RAR au zip ni nini?
naomba mwenye uelewa anidadavulie maana nimeinstall biblia kwenye pc yangu sasa kuifungua imekuja kwenye mfumo wa zip hapo sasa sielewe kitu kabisaa jinsi ya kuifungua, naombeni msaada au kama kuna link ya maelezo pia itasaidia.
Nimewasilisha wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.