HONGERA WADAU WA MAFUTA.
Japo mlitupa shida kubwa sana mara tu mlipositisha huduma ya mafuta kwa wananchi,na sasa mmeanza tena baada ya kubanwa na serikali.Nawapeni hongera ila msitupe shida kama hii tena wananchi na muwe watii kwa mamlaka husika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.