Tatizo la msingi hapa ni usingo maza. Angekuwa na mwanaume wa kumuongoza asingefanya jambo la kitoto kama hilo la kumuamini mtu kiajabuajabu. Atafute mume kwanza.
UPDATES: Kwanza asanteni wote mliotoa mawazo yenu ya kujenga na kusaidia. Wale wapuuzi of course endeleeni kuwa wapuuzi. Baada ya negotiations za pande mbili na kwa ushauri wa wakali niliyemtafuta physically, nimeamua kutoipursue hii issue.
Of course niliandika kwa kifupi nikitumaini mtu atayekuwa na idea za kunisaidia atauliza specific information fulani nimjibu. Isingewezekana kunarrate kila kitu hapa, useful information zingepatikana kwa maswali mkuu. Sijui kama unanielewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.