Recent content by Baba David

  1. B

    JamiiForums Tanzania Shule ya English Medium imegoma kumuhamisha mwanangu. Hatiani kukosa mtihani wa darasa la nne

    Tatizo la msingi hapa ni usingo maza. Angekuwa na mwanaume wa kumuongoza asingefanya jambo la kitoto kama hilo la kumuamini mtu kiajabuajabu. Atafute mume kwanza.
  2. B

    JamiiForums Tanzania Katoa mimba yangu naomba msaada wa kisheria

    Na still umenijibu [emoji23]
  3. B

    JamiiForums Tanzania Katoa mimba yangu naomba msaada wa kisheria

    Ama vipi
  4. B

    JamiiForums Tanzania Katoa mimba yangu naomba msaada wa kisheria

    Ilikuwa yako?
  5. B

    JamiiForums Tanzania Katoa mimba yangu naomba msaada wa kisheria

    Pole.
  6. B

    JamiiForums Tanzania Katoa mimba yangu naomba msaada wa kisheria

    Nawewe upo miongoni mwa wapuuzi?
  7. B

    JamiiForums Tanzania Katoa mimba yangu naomba msaada wa kisheria

    Of course unaweza kusema unachodhani ni sahihi.
  8. B

    JamiiForums Tanzania Katoa mimba yangu naomba msaada wa kisheria

    Nakuzidi kuanzia elimu, uwezo wa kufikiri, pesa, n.k. The fact kwamba unapata vocha za kuokoteza haimaanishi you’re anybody.
  9. B

    JamiiForums Tanzania Katoa mimba yangu naomba msaada wa kisheria

    UPDATES: Kwanza asanteni wote mliotoa mawazo yenu ya kujenga na kusaidia. Wale wapuuzi of course endeleeni kuwa wapuuzi. Baada ya negotiations za pande mbili na kwa ushauri wa wakali niliyemtafuta physically, nimeamua kutoipursue hii issue.
  10. B

    JamiiForums Tanzania Katoa mimba yangu naomba msaada wa kisheria

    Otherwise kama ilikuwa yakwako
  11. B

    JamiiForums Tanzania Katoa mimba yangu naomba msaada wa kisheria

    Asante sana mkuu. Naomba ukitulia ukaona lingine linaloweza kuwa na msaada usisite kuniambia hapa ama PM
  12. B

    JamiiForums Tanzania Katoa mimba yangu naomba msaada wa kisheria

    Anyway hebu tufanye mimba haikuwa yangu. So kama sio yangu anaruhusiwa kuitoa? Note: Hakukuwa na sababu za kitabibu.
  13. B

    JamiiForums Tanzania Katoa mimba yangu naomba msaada wa kisheria

    Makes sense.
  14. B

    JamiiForums Tanzania Katoa mimba yangu naomba msaada wa kisheria

    Of course niliandika kwa kifupi nikitumaini mtu atayekuwa na idea za kunisaidia atauliza specific information fulani nimjibu. Isingewezekana kunarrate kila kitu hapa, useful information zingepatikana kwa maswali mkuu. Sijui kama unanielewa.
Back
Top Bottom