Habari wanajamvi wenzangu!!
Poleni kwa Majukum
Kwa jina naitwa John,
Umri wangu miaka 28,
Elimu yangu ni Shahada
Ni mkazi wa Mwanza
Nipo hapa kutafuta rafiki/mwenza ambae yupo serious na anaejua nini maana ya maisha, na anaejitambua
Awe na umri kuanzia miaka 23 mpaka 30
Asiwe na tabia mbaya...