Recent content by Ba Alvin

  1. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanajamvi maneno haya yana ukweli kiasi gani?

    Kiufupi mwanamke anataka sampuli zote za wanaume awe nazo.
  2. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanajamvi maneno haya yana ukweli kiasi gani?

    Maelezo aliyoyatoa huyo dada ni maelezo ya page moja tu kwenye kitabu cha "MJUE MWANAMKE" ambacho kina pages milioni kumi[emoji1][emoji1][emoji1]
  3. B

    JamiiForums Tanzania Serious: Mke/mchumba

    Habari wanajamvi wenzangu!! Poleni kwa janga hili linalotukabili. Mm ni jinsia ME, Umri wangu miaka 29, mrefu sio sana mwembamba. Elimu yangu ni Shahada. Najishughurisha na ujasiriamali. Kwa sasa naishi Mwanza Nipo hapa kutafuta mwenza ambae yupo serious. Awe na umri usiopungua miaka 23 na...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Rafiki wa kike/Mwenza

    Ahahhàaa
  5. B

    JamiiForums Tanzania Rafiki wa kike/Mwenza

    Habari wanajamvi wenzangu!! Poleni kwa Majukum Kwa jina naitwa John, Umri wangu miaka 28, Elimu yangu ni Shahada Ni mkazi wa Mwanza Nipo hapa kutafuta rafiki/mwenza ambae yupo serious na anaejua nini maana ya maisha, na anaejitambua Awe na umri kuanzia miaka 23 mpaka 30 Asiwe na tabia mbaya...
Back
Top Bottom