Naomba tujadili kidogo kuhusu suala la mwelekeo wa Serikali yetu kwa sasa juu ya kushughulika na kero za wananchi.
Je, ni kweli Serikali ya chama Cha Mapinduzi wameshindwa kuongoza nchi?
Je, CHADEMA wana sera nzuri zitazoweza kutuvusha na kusafisha pale CCM waliposhindwa?
Tuanze na maswali...
Kweli kabisa lakini Kuna muda mm Kama kijana natamani niwe kwenye mahusiano lakini Kila nikijitahid kumfuata msichana nimpendae ndo ivo wengne dharau nying
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.