Mmesoma mkataba wa Hiyo Bandari ya Bagamoyo au mnapayuka tu hapa kama machizi?
kuna vipengele vya huo mkataba ni vya hovyo kabisa....
kimoja kinasema kuwa..." Bandari ya Dar. haitaendelezwa wala kuboreshwa wakati Bandari ya Bagamoyo ikiwa inaoperate"...
sasa vipengele kama hivo mnajua maana...
Hata msemeje, JK, hakufaa kuwa Rais, ukiniuliza mimi JK. kafanya nini ndani ya miaka 10 yake nitakuonesha UDOM tu na Rock City Mall ya Mwanza, sioni kitu kingine...
JK. alifanya vitu vyepesi mno, na muda mwingi akautumia ughaibuni, acheni ujinga...
Magufuli ndiye Rais, na namkubali kupita...
Pumbavu zenu, hata the new york times lingeandika, hatutishwi, potelea mbali, bado nipo bega kwa bega na Mh. Rais, hata kama tutashindwa vita hii ya kiuchumi sawa tu, cha msingi moyo wangu upo pamoja na nchi yangu Tanzania.
Tanzania bila ubabe hakuna maendeleo, namkubali sana JPM, tulizoea kubembelezana na kuoneana haya, enzi hizo kwishinei
Ndio maana sikuwahi kumkubali JK tangu 2005 hadi sasa.
Naona Tanzania mpya ikija kwa kasi, ni wenye akili timamu tu ndio tunaliona hiloo
Kwa hiyo unalinganisha hivyo vi-bilioni 4 vya TV na Trilioni 425 za ACACIA!!!????
mbona hujiulizi kuwa IPP media anadaiwa Bilioni 16 na TRA na AZAM anadaiwa Bilioni 40?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.