Hata msemeje, JK, hakufaa kuwa Rais, ukiniuliza mimi JK. kafanya nini ndani ya miaka 10 yake nitakuonesha UDOM tu na Rock City Mall ya Mwanza, sioni kitu kingine...
JK. alifanya vitu vyepesi mno, na muda mwingi akautumia ughaibuni, acheni ujinga...
Magufuli ndiye Rais, na namkubali kupita...