Habari kama kichwa cha habari kilivyojieleza napata maumivu makali katika maungio ya bega langu la kushoto. Je, kuna mtu anafahsmu kuhusu hili na je kuna mtu anafahamu dawa.
Msaada Please.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiendekeza ndugu utavuna magugu... Utakufa kibudu na MUNGU autamuabudu utamkataa wajoto utamkana wa baridi atabakia wauvugu vugu naye pia ataleta gubu...
SASA HIVI MWENDO WAKUVALIANA MIWANI TU
HUO MSTARI UPO KATIKA WIMBO GANI???
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari,
Poleni na majukumu ya kila siku..
Naomba kuuliza eti maumivu katika bega la kushoto kugosheka kama unagosha vidole na kuwa na maumivu makali ni ugonjwa gani au kama mtu aliwahi kuumwa alipona kwa njia gani?
Msaada please
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.