Recent content by aziz rupembecho

  1. A

    Gazeti la Jambo Leo... Vituko vitupu!

    Gazeti la jambo leo licha ya mapungufu yaliyoandikwa lakini sio baya. tatizo hawajipi nafasi ya kuhakiki habari wanazoziandika hivyo asilimia kubwa ya habari zao zinakuwa hazina mashiko. elimu na uzoefu sidhani kama ni kikwazo kikubwa kwao kutofanya kazi nzuri. wananchi tunahitaji habari ambazo...
Back
Top Bottom