Mimi nipo Arusha. Nimeagiza mzigo leo kutoka kampuni ya Sundar, Dsm na huu siyo mara ya kwanza niagize mzigo kwao Sundar.
Nilipewa bei na nikatuma pesa kwa airtelmoney. Sasa, na ambiwa na staff wao kwamba nitume mtu akachukue huo mzigo ofisini kwao kariakoo! Eti ni mzigo mdogo!
Nikashangaa...
Kwa siku chache zilizopita, maafisa wa halmashauri ya jiji wamekuwa wakiwasimamisha madereva na kuwatoza faini kwa kosa la kutumia barabara kinyume na mwelekeo katika barabara hii ya katikati ya jiji la Arusha, kati ya Soko Kuu na barabara ya Sokoine. Kuna alama za STOP kwenye pande zote mbili...
Kwa siku chache zilizopita, baadhi ya Maafisa wa Halmashauri ya Jiji wamekuwa wakiwasimamisha madereva na kuwatoza faini kwa kosa la kutumia barabara kinyume na mwelekeo, katika barabara hii ya katikati ya Jiji la Arusha, kati ya Soko Kuu na Barabara ya Sokoine.
Kuna alama za STOP kwenye pande...
Nimejisajili ofisi za NIDA, Arusha, na ninayo soft copy ya kadi ya NIDA. Nilifuatilia hard copy mara kadha lakini sikufanikiwa. Sasa, tangu karibu miaka mitano nimehamia Dsm. Mi ni daktari na siwezi kuacha wagonjwa wangu nilifuatilie hilo kadi huko Arusha.
Nifanyeje? Ahsante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.