Mkuu Walker water kama ujapendenzwa na kinacho endelea hapa nakuomba unaweza kuanzisha uzi upya ili tujifunze zaidi
Kuna uzi nyingi sana hapa JF ambazo zinazungumzia mambo ya kuwepo kwa Mungu yupo au hayupo mnaweza kwenda huko kuliko kupoteza maana ya kinachotakiwa kuzungumziwa humu
Ahsanteni.
Mkuu kingine kama utakuwa unaelewa jinsi ya kutoka nje ya mwili yani ( astral projection ) unawez kutuandalia uzi wake au kuelezea hapa machache ili watu tujifunze pale mtu akitoka kwenye mwili wake mwili pale chini bado unabaki kuwa hai?
Mkuu umefanya mambo makubwa sana kwenye uzi huu hakika hatuna cha kukulipa Mungu anatufungua bongo zetu kupitia ww mkuu ubalikiwe sana[emoji120][emoji120]
Mkuu somo lako nimelielewa na toka nianze kufatilia masomo yako pamoja na mkuu Walker maisha yangu kuna vitu baadhi vinaniachia huru naweza kupaa tena ndotoni kama mwanzo hakika ukimuomba Mungu kwa imani toka moyoni kila kitu kina funguka hakika Mungu amenionesheni ninyi ili nimjue yeye...
Mkuu asante sana kwa maalifa yako
Mkuu mimi uwaga naota ndoto napaa angani hii imekaaje kwenye ulimwengu wa roho afu napaa kama super man msaada tafadhal
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.