Recent content by Autodidacts

  1. Autodidacts

    Lissu amesema uongo, Dubai Zoo haina wanyama 50,000

    Hoja ni serikali kukaa wanyama nje ya nchi kinyume kabisa na sheria za nchi.. Issue ya idadi si hoja maana HAUWEZI KUBISHANA KUHUSU IDADI YA MARA NGAPI UMEBAKWA,HOJA NI KUBAKWA IWE MARA MOJA AU MARA 7.
  2. Autodidacts

    UPDATES: Hatimaye Tundu Lissu aanza safari ya kurejea nyumbani

    Eg. Musa kabla ya kuwakomboa waisrael utumwani ilibidi wamuondoe kwao tena akiwa mtoto mchanga, Yesu kabla ya kuanza kazi yake alikimbizwa nje ya nchi yake kwanza,nk nk
  3. Autodidacts

    Lissu ukirudi Tanzania zingatia hili, kumkashifu Baba wa Taifa ni off limits

    Unasema sera na msingi iko pale pale wakati NYAKATI zinabadilika ! eg. Huwezi ukaleta sera na misingi ya ujamaa nyakati hizi tukakuelewa maana ata waasisi wa ujamaa China na Urusi wameachana nao. Pia ni ujinga kufikiri kwamba kukosoa ni kukashifu,au hauelewi maana ya kashfa na kukosoa...
  4. Autodidacts

    Hongera Mbowe umeshinda mchezo wa kisiasa

    Mbowe amesoma hofu ya CCM juu y katiba mpya na kuielewa hofu na kujua namna ya kudeal nayo. Viongozi wengi wa CCM wanahofia sana hatima yao na maslahi yao baada ya katiba mpya('ya warioba'),.Anachofanya Mbowe ni kutumia diplomatic plus compromised means ili mambo yafanikiwe. Ndio maana kuna...
  5. Autodidacts

    Tundu Lissu: Kufa kwa Magufuli ni 'Poetic Justice'

    Rubbish, Unataka kutuambia Chadema wana influence ya kutoa amri kwa polisi kuondoka kwenye lindo!? Anyway chawa kimaumbile ni mdudu mwenye ubongo mdogo sana
  6. Autodidacts

    Tundu Lissu: Kufa kwa Magufuli ni 'Poetic Justice'

    Ungetumia akili kidogo usingeandika hayo. Kwa kifupi Lissu na akina Chacha wangedhuriwa na watu nje ya mfumo wa seriklini hao watu wangeshakamatwa,ni kwa vile wahusika wako kwenye system ndio maana hawakamatwi. Na kama wahusika wako Chadema basi kitu gani kinashindikana kuwakamata? Kama...
  7. Autodidacts

    Tundu Lissu: Kufa kwa Magufuli ni 'Poetic Justice'

    Tell them! Wajinga ni wengi sana,werevu wachache sana
  8. Autodidacts

    Tuseme ukweli waarabu hawana akili, nakupa fact hizi hapa

    Ujinga ni mzigo walioturithisha waarabu. Aliekudnganya uchanganye uarabu na uislam ni taahira,hujui kuwa kuna waarabu wakristo!? Kukaa kimya ni kuficha ujinga
  9. Autodidacts

    Anayetishia Ujio wa Lissu Tanzania ajulikana. Ni Afisa wa Polisi wa Kike Julius Nyerere International Airport (JNIA)

    Tuone sasa! with or without laws tutamshughulikia,ikibidi ata uchawi utahusika...mwepesi tu lazima tumshughulikie ata akikimbia nje ya nchi. Ukiishi kwa upanga,utakufa kwa upanga...it's a law of nature,her days are numbered.
  10. Autodidacts

    Anayetishia Ujio wa Lissu Tanzania ajulikana. Ni Afisa wa Polisi wa Kike Julius Nyerere International Airport (JNIA)

    She is not alone,kuna watu wengine wako nae. Anahusika pia na kilichomtokea Lissu Dodoma. Huyu dada anajulikana anakokaa ni Tabata na wazazi wake wanajulikana,tuanze na huyu pamoja na family yake with or without laws...enough is enough!
  11. Autodidacts

    Mzalendo Afungua kesi Mahakamani dhidi ya Jamhuri kuhusu kupotea kwa Ben Saanane , Kanguye , Azory Gwanda na Mauaji ya Lwajabe

    Kuna effect gani akivuka? Tuache mazoea,wafadhili wmemkaba koo mama hana namna kila kitu kitawekwa wazi na wahusika watashughulikiwa ikiwa pamoja na Makonda anartuhumiwa wazi na marekani kuwa ni muuaji na mvuruga democracy,it's a matter of time
  12. Autodidacts

    Tundu Lissu, uhai wako ni muhimu kuliko chochote, usije Tanzania kwa sasa, ngoja kwanza

    Wakati wa kugombea urais serikali uwa inashiriki kuhakikisha usalama wa wagombea Pia dunia yote macho yalielekea kwenye kuona uchaguzi unavyoendelea,ivyo wale wahuni wasingeweza kumdhuru ktk mazingira hayo maana dunia nzima ilikuwa ina-monitor kinachoendelea kwenye kampeni. Baada ya kampeni...
  13. Autodidacts

    Upuuzi wa Makamba Senior ndio Chanzo cha Yanayoendelea!

    Magufuli kuwa na nguvu! Haijawahi tokea kwa maiti iliyooza ikawa na nguvu,huu ni ujinga. Magufuli kafa,kazikwa na ameoza tayari...tafuta channels zingine.
  14. Autodidacts

    Tetesi: Inadaiwa yupo safe house

    Watu wanashindwa kuelewa kuwa kuna misemo ilifanyiwa research na kuonekana ina ukweli 100%....eg: ...what goes around comes around, ...What u don't wish to be done on u don't do it to others for karma is really existing. Diwani isn't exceptional.
  15. Autodidacts

    Kwa haya ninayoyasikia na kuyaona! Tusahau CCM kutoka madarakani kwa namna yoyote ile

    Ni mjinga tu asiyejua history ya tawala za dunia ndio anaedhani CCM haitatoka. Kwa tunaosoma alama za nyakati,CCM haifiki ata mwaka 2035
Back
Top Bottom