Recent content by auntkk

  1. A

    Natafuta Mfanyakazi Kwa ajili ya Internet cafe

    habari kaka me ninajua na nimeshawahi kufanyakaz hiyo ila nakaa tabata barakuda,je inakuwaje?
  2. A

    Tapeli rachel atafutwe

    Me jana yamenikuta ila nliwashtukia,jamaa kanipigia simu anaitwa emanuel john anajida hr barick goldmine anadai nimtumie vyeti vyangu soft copy na nimtumie pesa ya maji ya kunywa,nikamwambia ela sina akitaka anipe kaz then ntampa nikipata mshahara,akakata baada ya muda nikapigiwa na mtu mwingine...
  3. A

    Msaada customer care NBC

    Poa thnx madam
  4. A

    Msaada customer care NBC

    Na wana apply wapi nafasi za customer care nbc?nasikia kuna kampuni je ipo maeneo gani?
  5. A

    Msichana anayejua Computer anatakiwa

    me najua computer na namba yangu ni 0757 851539,naishi tababa relini
Back
Top Bottom