mimi nimepata kaz kupitia zoom niliaply katika matangazo yao na hata miezi miwili haikupita nikaitwa na hiyo company husika kwenye interview na kaz nimepata.
nashukuru na mimi ni muhanga pia ila msaada wenu please asubuhi naweza kula vyakula gani na mchana maana kwa maisha yetu ya kibongo vinavyo tuzunguka ni vilevile chapati maandaz n.k
nashukuru na mimi ni muhanga pia ila msaada wenu please asubuhi naweza kula vyakula gani na mchana maana kwa maisha yetu ya kibongo vinavyo tuzunguka ni vilevile chapati maandaz n.k
Habari wadau nashukuru pia nimepata majibu kupitia swali hilo la mdau,naomba pia mnisaidie juu ya hili ,kwa mfano company imetangaza nafasi za kazi mbali mbali katika hizo nikaona nafasi zaidi ya moja nina sifa je naweza nikaomba zaidi ya moja? yaan kwa kuandika barua kwa kila moja naombeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.