Recent content by Augustino Michael

  1. Augustino Michael

    Natafuta Ng'ombe wa Maziwa

    Nataka nianze usambazaji wa maziwa
  2. Augustino Michael

    Natafuta Ng'ombe wa Maziwa

    Bei ya maziwa
  3. Augustino Michael

    Natafuta Ng'ombe wa Maziwa

    Wanajamvi, beinya maziwa siku hizi ni shilingi ngapi kwa lita ?
  4. Augustino Michael

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Naomba namba ya Emergency TANESCO Ilala, hii 0715768589 haipatikani. Nilipewa namba hii kutokea 0784768586 ambako niliuzia sababu ya kukatika kwa umeme nikaambiwa nipege kwenye hiyo namba ambayo haipatikani
  5. Augustino Michael

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Huku Kinyerezi umeme umekatwa usiku huu, ni kwetu tu au na sehemu nyingine ?
  6. Augustino Michael

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kwa nini tatizo lisishughulikiwe kwa ujumla wake wakati linawahusu watu wengi. Kwa nini mteja kwa mteja. Mbezi hawataki kwenda kufanya survey wakati watu wameshalipa ? Kisa hawana usafiri. Watu wako tayari kutumia usafiri binafsi hata kwa kuchanga, wanasema hairuhusiwi. Fungeni ofisi basi tujue...
  7. Augustino Michael

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Jamani wanajamvi hebu niambieni, kuna mtu yeyote ambaye tatizo lake limetatuliwa kwa kuandika kwenye thread hii ? Nimeandika kuhusu TANESCO Mbezi, badala ya kufuatilia limefutwa, je TANESCO wanufurahia uzembe wa ofisi yao ya Mbezi ? Wanataka Raisi atatue matatizo mangapi ? Kama mnataka kila...
  8. Augustino Michael

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    TANESCO hamjashughulikia malalamiko yangu kuhusu Tawi lenu la Mbezi
  9. Augustino Michael

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kwa maana nyingine TANESCO kwa makusudi, hawataki kutekeleza maagizo yanSerikali wakati uwezekano wa kutekeleza upo. Mheshimiwa Waziri Kalemani unaliona hili. Jinsi TANESCO wanavyokupuuza, kwa kupuuza maagizo yako ?
  10. Augustino Michael

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    TANESCO Makao makuu wafuatilie mwenendo wa maofisa wao walioko kwenye tawi lao la Mbezi, kutokana na huduma zisizodhirisha za ofisi hiyo. Kuna wateja ambao wameshalipia kuwekewa umeme kwa zaidi ya miezi sita lakini hata survey haijafanyika. Kila wanapofuatilia kufanyiwa survey wanaambiwa kuwa...
Back
Top Bottom