Recent content by atusam

  1. A

    Wadau wale watu wa online mkuje hapa nahitaj msaada

    Naomba kama hautojali unipe elimu kidogo juu ya hizo platform yaan in general
  2. A

    Nauza kiwanja Nyankumbu,, GEITA

    Seble ndo sebule ndo sitting room.
  3. A

    Nauza kiwanja Nyankumbu,, GEITA

    Nafasi ya kutafuta mteja. Ndo maana tunarahisisha huku. Dunia kiganjani boss.[emoji106]
  4. A

    Nauza kiwanja Nyankumbu,, GEITA

    Habari, jaman nauza kiwanja, ipo mkoa wa Geita, mtaa wa nyankumbu. Kina ukubwa wa sqm500 na kina msingi wa nyumba ya vyumba vitatu, seble, dinning na jiko. Bei ni 1.7m Mawasiliano 0783133121
  5. A

    Nauza kiwanja mkoani GEITA. NYANKUMBU

    Habari, jaman nauza kiwanja, ipo mkoa wa Geita, mtaa wa nyankumbu mtaa wa mwabasabi. Kina ukubwa wa sqm500 na kina msingi wa nyumba ya vyumba vitatu, sebule, dinning na jiko. Bei ni 2m Mawasiliano 0763017179/0783133121. Nguzo ya umeme hapohapo.
  6. A

    Wapi naweza kupata vifungashio (take away) vigumu vya juice?

    Habari wadau. Tafadhali naomba msaada wa ni wapi naweza pata vifungashio au kwa lugha ya take away za glass kwa bei ya jumla ambazo ni imara kidogo za kuuzia juice. Note: sio vile vifungashio vya ubuyu n.k. maana ni vilaini sana. Ukitumia mara mbili kwisha.
Back
Top Bottom