Humu kuna watu wamekubwa na hilo na wanajaribu kutafuta namna ya kujinasua kwa kutaka ushauri wa hoja zetu na kama kweli wapo humu hatuna cha zaidi kama ulijua umefoji vyeti na unalipwa msharaha wa wizi na hujipangi kwamba kikinuka ufanyeje basi tafuta nyumbani kwenu wapi nenda kalime tu maana...
Sikupata mda wa kumsikiliza lkn kama kweli kasema hivo amedharau sana sekta binafsi na cha zaidi hao wanafunzi wanapelekwa na TCU sio kwamba wanaenda kule kwa sababu hawajiwezi hapana.. Mbona wanafunzi wengi toka vyuo vya serikali mfano fani ya ualimu hawajui hata kuandaa lesson plan na scheme...
Jana tu wametoa tangazo la nafasi za masomo ya ngazi ya cheti na shahada na ktk hilo tangazo bado wanaitaji na walimu wa sanaa.. Kwann serikali hii isifute kabisa masomo ya ualimu wa masomo ya sanaa haya maana hayana faida kwa sasa wamezalisha wataalam wengi hadi wa ziada sasa na bado...
Walisema walimu wa Sanaa wapo wa ziada sasa mbona kuna wengine waliosoma masomo ya sanaa wameajiliwa ukiangalia peji ya mwisho na ni majina matatu 3 ya mwisho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.