Ukimchunguza sana bata, hakika huwezi kumla. Ingekua siri (kama wengine wanavyofanya waonekane wasafi) asingekubal kupigwa picha. Mzee n mtendaj, wadhaifu wametuchosha mpen kura awafungie kazi.
Utandawazi ndugu! Hata vitu vilivyoonekana vya thaman enzi hizo havina thaman tena. Mf. Nyumba nzur wakat huo, magar, nakumbuka miaka ya tisini tukiwa na cmu ya mezan kwetu (ya waya) nlkua naringa sana naona n kitu cha pekee! Same applies to education Qualifications itafikia hatua kila nyumba...
Vyuo viko kibiashara zaidi (kozi nying raia weng) na vijana wanaomaliza form six weng hawatafuti ushaur! Na ukishachaguliwa kozi fulan ndo bas USUMBUFU wa kubadilisha hawatak unless unahamia EDUCATION! La msing kuwen makin juu ya uchaguzi wa kp unatakisoma kabla ya kuapply.
Ambao mlikua hamsomi kazi kwenu! Niwakumbushe tuu kua tabia ya KUZIMA MOTO c nzur! Papara unaeza jikuta unazimia mafuta ya taa badala ya Maj! Otherwse, wish U all the best.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.