Hapana,usaili huja kulingana na mitaala ya sasa
Tangu 2015 mitaala imebadilika mara tatu hivi
Je huyo wa 2015 kupitia wapi
Pia gharama za safari nk mtaji mkubwa unapotea na wanarudi zero na kazi hawana
Pia Rushwa
Rushwa
Rushwa
Umeonge ukweli
Maana wenye GPA kubwa sio kuwa ndio wanaweza kufanya mwanafunzi afaulu
Changamoto kazini nyingi mno toka kwa jamii na wazazi na wanafunzi
Na anayeamini katika GPA yupo mjini hajatembea
Mfano apewe shule moja ndani ndani huko,atende tuone GPA yake inafanyaje muujiza
Ubovu sio walimu
Ubovu mfumo
Mfano interview mwalimu wenye GPA sawa
2015 na 2023
Huyu wa 2023 odds za kushinda ni uhakika maana bado vitu vipo moto kichwani
Pia mfumo wa elimu yetu ukiangalia udhaifu wa mitaala
Wengi wanajua Dstv ni alfa na omega kwa mpira Afrika
Kumbe na wengine
Zaidi wapo.watu wakija jua
Dstv atafunga hesabu
Ndio maana nimesema
Sababu walizoziweka ni za kutudanganya
Ila ukweli wanajua Ni mapinduzi ya teknolojia
Hizo sababu za kupoteza wateja ni uongo wameogopa wakiongea ukweli, watu watataka kujua zaidi kuhusu huo ukweli. Ni hivi, teknolojia imesababisha wao kupoteza wateja kwa namna zifuatazo
Watu wanatumia smarttv kustream mechi, japo TV nyingi zinakuja na lock kwenye playstore ili usidownload apk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.