Translation of my earlier post:
ULIZO
Nachingwea-Shamba 17
Hamjambo? Mimi ni raia wa Msumbiji na ninafanya utafiti kuhusu asili ya Shamba 17 la Wilaya ya Nachingwea.
Ninaelewa kuwa baada ya Vita vya Pili vya Dunia, Uingereza ilitenga Shamba 17, ikiwa moja ya mashamba 21 (au, 20...