Recent content by Athumani malumalu

  1. Athumani malumalu

    Tafakari katika uombaji wa Vyuo

    Kwanini wanafunzi wanaotuma maombi kujiunga na vyuo vikuu ambao hawajafaham vizuri kozi zinazotolewa na vyuo husika, wanatakiwa kulipa kwanza hela kabla yakuchagua kozi!!! Kitu ambacho kinawalazim wachague kozi wasizozipenda kwakuwa pesa hairudi. Usipolipa huwezi kuona hatua inayofuata...
  2. Athumani malumalu

    SoC03 Elimu rafiki kwa mabadiliko yenye tija

    Elimu rafiki, huu ni mfumo wa utoaji maarifa kwa jamii au mwanafunzi yanayo shabihiana na mazingira katika kutenda na kukabiliana na hali halisi katika mazingira hayo. Upatikanaji wa elimu rafiki katika taifa letu imekuwa changamoto kubwa, nahii pengine ni kwasababu ya kile kinacho tajwa kama...
  3. Athumani malumalu

    SoC03 Utawala Bora na maendeleo vijijini

    Katika mfumo bora wa uongozi na uendeshaji wa mamlaka utawala bora ni muhimu kuhakikisha wananchi wote wanafikiwa na huduma sawa na zenye tija. Katika taifa letu wimbi la uongozi m bovu katika ngazi za chini za utawala limekuwa kubwa na hii pengine ni kutokana na serikali kutofuatilia mienendo...
Back
Top Bottom