Recent content by Asubuhi News

  1. Asubuhi News

    Wanasiasa wasio timiza ahadi na wasio fuata Katiba watungiwa wimbo

    Hii rabuda inaweza ikawa njia nzuri Sana kusikika kuliko tunavyojaribu kudai haki kwa maaandammano. Bahati nzuri mwimbaji aliwahi kuwa Mwanasiasa CHADEMA, NCCR MAGEUZI na CCM kabla hajaacha Siasa rasmi. https://youtu.be/DTSA0cQ6Xxk?si=aYZ8VP9NHdHoxlI_
  2. Asubuhi News

    Upotoshaji wa Malisa juu ya Civilian Coin ni wa kupuuzwa kabisa na ni wa uongo

    UPOTOSHAJI WA MALISA GJ NI WA KUPUUZWA, SINA MPANGO WA KUDAI FIDIA BAADA YA KUSHINDA KESI, MIMI SINA DHIKI YA KISIASA MPAKA NIDAI FIDIA, NINAJITOSHELEZA NA SIASA ZENU NIMEWAA CHIA. Bwana Malisa ameandika waraka wa uongo mwanzo mwisho juu yangu CIVILIAN COIN ambaye yeye kanitambulisha Kama...
  3. Asubuhi News

    Nyaraka za Siri za kuachiwa Civilian Coin na Mahakama na magereza za vuja

    Sasa anaitwa Civilian Coin Sasa anaitwa Civilian Coin
  4. Asubuhi News

    Nyaraka za Siri za kuachiwa Civilian Coin na Mahakama na magereza za vuja

    https://youtube.com/playlist?list=RDPCVVeUzbe8Y&playnext=1&si=I3XvRJgWaNOWPQYj
  5. Asubuhi News

    Nyaraka za Siri za kuachiwa Civilian Coin na Mahakama na magereza za vuja

    Baada ya upotoshaji mwingi wa je ni kweli Bwana Civilian Coin ameachiwa na Mahakama au kamaliza kifungo, meza yetu imepambana mpaka ikapata nyaraka kutoka kwa wadau wetu. Kama hapa zinavyosomeka na je alifungwa kwa jinagani Deogratius Kisandu au Civilian Coin, majibu yote ni hapa jf.
  6. Asubuhi News

    Mahakama ya Rufani Tanzania imemuachia huru Deo Kisandu (Civilian Coin) mwanasiasa aliyeacha Siasa

    Samahani, Asubuhi News haina Asubuhi News Haina ushirika na Civilian Coin
  7. Asubuhi News

    Mahakama ya Rufani Tanzania imemuachia huru Deo Kisandu (Civilian Coin) mwanasiasa aliyeacha Siasa

    Kwanza taar Ikwanza taarifa ya Malisa ni ya kubuni imejaa uongo mwingi na ukweliq kidogo Sana. Kesi ya kwanza alifungwa miaka 3nasio 2, Pia kesi ya pili aliyetuhumiwa kumwita mchawi Ni mama yàke mzazi Bi. Laurencia Tundule na ndiye aliye mfunga japo kwasasa wako pamoja nyumbani kwao Kahama...
Back
Top Bottom