mm ni kijana niliemaliza kidato cha sita mwaka huu nilichukua PCB nasubiria majibu, ndoto zangu ni kuwa doctor lakin nimezungumza na baadhi ya watu wanadai udaktari mgumu Afadhal ufamasia, so mnaweza mkanijuza famasia kazi yake ni nini? mm ninachojua ni kuuza dawa tu
mimi ni kijana wa miaka 20 nimempenda msichana mmoja kanisani, na naamini nimempenda kutokana hata nikiwa nyumbani huwa sura yake inanijia, tatizo sijui nitamwanzaje kanisani pale na muda wote saa ya kutoka nikimsubiri huwaga na mama yake nahisi hawaachani, mnanishauri nifanye nini maana sijui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.