Basi kitafute, kuna mtu alinishauri nikisome baada ya kumuambia shida yangu kuhusu jirani yangu mmoja ambaye tulikuwa tukigombana nae kila siku. Baada ya kukisoma si tu sasa najua jinsi ya kuishi nae bali nimegundua hata jinsi ya kumhandle mwenza wangu na hata jinsi ya kuishi bila shida na boss...
Brother IDIMI tafadhali nitafutie wimbo wa miss Sara( yule alikuwa akifanya sana collabo na Cas T)
siukumbuki jina lake ila kwenye chorus anaimba
"Nikwite jina gani mpenzi, ujue nakupenda"
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
I wish ningekutumia salio brother. Daaah asante sana. Umenipatia nyimbo mbili nilizokuwa nazitafuta kinyama. Sante kaka[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Naomba nitafutie wimbo wa Ray C FT Mr Blue unaitwa "nilipokutana nae"
Uko kwenye albamu ya Na wewe milele.
Pia nitafutie wimbo wa "baba mkwe" uliimbwa na Papy Kocha akiwa TOT Plus
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Bro na mimi nitafutie wimbo wa segerea ulioimbwa na TBT CREW.
Pia kama utaupata wa Ally Choki na Ndanda Kossovo Bea wangu
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Bro na mimi wimbo wa segerea ulioimbwa na TBT CREW.
Pia kama utaupata wa Ally Choki na Ndanda Kossovo Bea wangu
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Mkuu Roga Roga kazi unayoifanya ni ya utumishi wa umma. I appreciate bro.
Nitafutie
1. Caterpillar- KM Echelon
2. Beya wangu- Ndanda Cossovo feat Ally Choki
3. Baba mkwe- Papy Kocha akiwa TOT
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshamba ni wewe unayejiita jina la mwanaume mwenzio bila aibu. Wapi nimesema kwetu Biharamulo?
Unajisifia Kilimanjaro imeendelea utadhani umetembea Tz nzima. Kuna maeneo yapo vizuri sana ila huwezi kusikia wakijisifu. Yapo maeneo ya hovyo sana Moshi kama Kiboriloni, Pasua na kwingineko ambapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.