We acha tu kaka! kwanza walipiga jkt mwaka 1 na nusu wakachukuliwa kwenye ujenzi wa ikulu dodoma na mjomba magu akawahakikishia ajira moja kwamoja, baada ya magu kufariki wakaona issue yao ya kuajiliwa inapotezewa hakun kiongozi yyte anazungumzia kuhusu ajira zao ikabid waende moja kwa moja kwa...
Ni ngumu sana kuzipata, mm nina broo wangu wamerudishwa mwezi uliopita alikuwa msata anapiga kozi ya jw wamerudishwa kama 150 kwamba ni unfit. broo wangu kaambiwa yeye syo raia wa tanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.