Binti yangu alieko darasa la tatu anaandika vzr lkn huyu amemzidi nampongeza kwa dhati kabisa, na ninashukuru mwanangu wa kike anaandika mwandiko uliosimama alafu wa kiume nitahakikisha anafanya vzr kwenye mwandiko na jembe langu pia baada ya machungu ninayopitia
Bro kwa Sasa acha tu waende wakikua watakuja kama kuna mjomba wao anakili timamu basi atawarudisha maana Dada yake kazaa Kijiji alafu hakuna future nilikua nabebeshwa mizingo mingine mara unakomaliwa mtafutie kazi huyu wa darasa la saba acha waende aiseee
Dodoma leo: huyu kwangu keshatoka na atasepa tuu, nisikufiche iwe nilichepuka akajua au hakujua kuniletea DAMU YA UKOO MWINGINE KWANGU NA KUTAKA MM NILEE ALAFU BAADAE UNIGEUKE UIPELEKE ULIKOITOA BORA HIZO PESA NIWAPELEKE WATOTO WANGU MAPUMZIKONI HUKO mikumi national park au tarangire
Nimelea...
Sijawahi na Wala ckuwahi kufikiria kutokana na migogoro ambayo nimekua nikishuhudia
Na hata yy mwenyewe alikua akinambia ni bora uchepuke lkn sio kuzaa nje ya ndo huyo mtoto cku ukimleta kwangu namwagia maji ya moto bora nikafungwe lkn sio wewe kuleta mtoto hapa kwangu, sitakubali kile...
Sawa asante
Nawashukuru wadau wote kwa ushauri mlionipa, na kwa wale mliotoa ushauri kua nisamehe na kwa jinsi mlivyowasilisha nimewaelewa ( ILA MMENIFANYA NISEME HIVI KAMA HAMTOJALI NITALETA MKASA MZIMA KUANZIA NAKUTANA NA HUYU BINTI NILIYOMVUMILIA AMBAYO BADO YANAFANANA NA HILI NA PENGINE...
Nakuelewa Dada ila kwa Sasa nikikumbuka tulikotoka na jinsi niliswaga ng'ombe kwenda kwao na jinsi niko napambana kwa ajili yake, na nimekua nikimwambia yy ndie ndugu yangu japo ninao ndugu kibao niliozaliwa nao namwambia tulia uhakikishe wanao wanapata elimu bora na mazingira mazuri ya maisha...
Hapana mkuu nimemuwezesha kwa jinsi alivyoomba na Sasa Yuko huko kwa wachungaji wake sijui baba wa kiroho wake anajishauri aanzie wapi maana kwenda kwao ni mtihani maana anaujua mziki wa kwao kwa maana ya life la pale, kwa mzinzi mwenzake ndo cjui anawaza nn
Ila nimepiga makufuri mapya yote...
Mkuu umeandika mengi na mazuri Sana
Jamii yangu Niko nayo vzr Sana
Kuhusu kujisimamia najisimamia vyema Sana, hua sipendi Shari na wife wangu labda itokee bahati mbaya
Sina mengi mkuu yakuandika
Mkuu mm ni mtumishi ktk MOJA ya taasisi yenye jukumu la kudhibiti ubora wa bidhaa zinazoingia na kuzalishwa nchini pesa ya kubadili mboga na kusomesha watoto shule nzuri na kuwapa mahitaji yote wanayohitaji siwezi kukosa, hata mwaka huu nilipanga kumnunulia wife ka usafiri ili akiwa anaenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.