Recent content by AsiliYetu

  1. AsiliYetu

    Natafuta bata (bukini)

    Wapo...#Arusha
  2. AsiliYetu

    Vifaranga Vya Kuchi...

    Nipo Arusha Sakina...Wana Miezi 5 sasa
  3. AsiliYetu

    Vifaranga Vya Kuchi...

    Ndio unaweza kuchanganya..lakini majogoo wa Kuchi ni wakorofi sana kukaa na majogoo ya kawaida ni tatizo
  4. AsiliYetu

    Vifaranga Vya Kuchi...

    Kufa ni jambo la kawaida kila kitu kinakufa
  5. AsiliYetu

    Vifaranga Vya Kuchi...

    Kunyamaza ni kitu kizuri sana kama hujui kitu
  6. AsiliYetu

    Vifaranga Vya Kuchi...

    Na wew utasema una Kuchi!!!![emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
  7. AsiliYetu

    Vifaranga Vya Kuchi...

    Sijakasirika..nipale watu hawajui kuku then wanaongea tu..ndio maana nimesema mwenye Kuchi haweke picha yake na bei zake.
  8. AsiliYetu

    Vifaranga Vya Kuchi...

    Singida hakuna Kuchi wewe..usitake kudanganya watu..Mimi nimeshafika.
  9. AsiliYetu

    Vifaranga Vya Kuchi...

    Mwenye Kuchi hawaweke hapo tuone maana mnaongea sana.
  10. AsiliYetu

    Vifaranga Vya Kuchi...

    Tumeumbwa kujaji bei kabla ujachunguza thamani ya kitu ndio maana nikasema wote walio sema bei zao wanao wapata hao kuku naomba waniuzie Pls.
Back
Top Bottom