Recent content by Asifiwe Mahundi

  1. A

    JamiiForums Tanzania Marekani yaitaka Uganda kutathimini upya juu ya sheria ya jinsia moja

    Ila nashangaa Sana babu zetu walioa wake wengi kwetu sisi ikawa ni kawaida wazungu wakapinga wakasema sio haki.Lakini Leo wao wanatuletea ndoa za jinsia moja hafu wanaziita ni haki za binadamu.Ukiyastaajabu ya Musa utayaona ya filauni
  2. A

    JamiiForums Tanzania Marekani yaitaka Uganda kutathimini upya juu ya sheria ya jinsia moja

    Ila mi nashangaa Sana hivi kweli mapenzi ya jinsia moja ni haki ya binadamu.Sio haki ni ujinga tu Kwa mfano mbuzi wa jinsia moja wakipandana ni kawaida?.kama sio kawaida Kwa sisi wanadamu iwe kawaida kama sio ugonjwa wa akili huu.
  3. A

    JamiiForums Tanzania Nataka mke

    Kuwa makini kijani aina ya uandishi wako haithibitishi umeajiliwa Fanya kazi mwanaume usipende vya mteremko
Back
Top Bottom