Recent content by ashura oscar

  1. ashura oscar

    Anahitajika msichana wa kazi

    Yupo mwenye sifa hizo ntatute apa 0655617869
  2. ashura oscar

    Natafuta kazi, nina Diploma ya Biashara

    tang'ana,why unasema ntaishia kutongozwa
  3. ashura oscar

    Natafuta kazi, nina Diploma ya Biashara

    Gojage nize,GPA yangu 3.4
  4. ashura oscar

    Natafuta kazi, nina Diploma ya Biashara

    Okonkwo Jr,don't panic mungu anamakusudi yake,labda kamuepusha lowasa kuna kitu kingemkuta au kuna kitu kampangia tofauti n urahisi tena ni kizur zaid,usiwaze just pray
  5. ashura oscar

    Natafuta kazi, nina Diploma ya Biashara

    @ Matendo Andrew,mkuu ntaweza ,najua jinsi ya kuplan business.
  6. ashura oscar

    Natafuta kazi, nina Diploma ya Biashara

    Habari za kazi wakuu,mimi no mschana mwenye umri wa miaka 23, Nina elimu ya Diploma ambayo nimesomea mambo ya biashara. Kwa muda sasa naangaika kutafta ajira bila mafanikio yeyote ,nilikua naomba mnisaidie wakuu kupata ajira yeyote yenye uhalali. Asanteni.
  7. ashura oscar

    Nafasi ya kazi saluni ya kike

    Unapatikana wap mkuu,mbona details zko azijitoaherez
  8. ashura oscar

    Product Survey Officer

    Mkuu huyo mtu unaemuitaji awe na qualification zipi
  9. ashura oscar

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Asante mkuu,naishi dar maeneo ya mbezi kimara,cijawai Fanya biashara y aina yyte,nasomea uhasibu ndoto zangu nikua muhasibu n mfnya biashara hapo baadae hususan restaurant, na ishi nyumban kwa wazazi ,chuoni nasoma masomo y jioni kuanzia xaa 12 mpk 3 usiku.
  10. ashura oscar

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Salamu kwa wote, Mimi ni binti wa miaka 23, nipo chuo CBE nina mtaji wa sh laki nne, nahitaji kufanya biashara ya kujiongezea kipato huku nikiwa nasoma, naomba ushauri ni biashara gani nifanye?.
  11. ashura oscar

    Natafuta kazi, nina Certificate ya Business Administration

    Nina certificate ya Business Administration. Nipo Dar es Salaam, kazi yoyote nafanya.
Back
Top Bottom