Kuna mtu anapata black spots usoni vinakuwa na kusambaa usoni, huwa anasumbuliwa sana na mionz ya jua...ametumia mafuta mbalimbali hata wanayo tumia ma albino lakin hayajamsaidia...ushauri wa kitabibu please
Habari wana JF,nampenzi nampenda sanaa mambo yote yuko poa si mkorofi, ukiwa nae pamoja ana care..tatizo moja linaniumiza kichwa:
1.ni nadra kwake kukutakia khali iwe ni asubuhi,mchana wala usiku mpaka umuanze.unaweza kumpigia asipokee na badae ata ku sms sorry nilikuwa nimelala..au niko busy...
ushauri jamani wana JF
Umeamua kuingia katika mahusiano na mwanaume uneyefikiri kuwa kuwa ni chaguo sahii kuwa nae na unampenda sana.
Kakujengea mazingira ya uwazi, upendo mpaka mmefikia makubaliano ya muoane unachukua uamuzi wa kuwaeleza wazazi wako..
Anakuwa mwepesi sana wa kushiriki...
Mimi ni binti wa miaka 25, niliwahi kuwa katika mahusiano hapo awali na kijana mmoja nilikuwa mwaminifu sana na nilimpenda sana lakini mwisho wa siku tukaachana bada yakugundua simwaminifu sikuwahi kuwa na mahusiano tena huu mwaka 2, sasahivi ametokea kijana mmoja nampenda sana lakini nashindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.