Recent content by ASHJAM

  1. A

    Naitwa Ashery Jamal Masoud, natafuta ndugu zangu. Marehemu mama yangu aliitwa Sara Mponela

    Ahsante Kwa ushauri wako. kwa bahati mbaya mpaka mwaka ule Mama yangu alipofariki, Kwa Sisi watu wa chini ilikuwa si kawaida kupiga picha maana hapa namwongelea mtu aliozaliwa mwaka 1948. Naomba uiposti hivyo hivyo Bila kitu linguine maana naamini kwamba ndug kami wapo watakumbuka stori hii...
  2. A

    Naitwa Ashery Jamal Masoud, natafuta ndugu zangu. Marehemu mama yangu aliitwa Sara Mponela

    Habari zenu? Natumaini wote wa forum hii hamjambo. Kwa jina naitwa Ashery Jamal Masoud, nina miaka 57. Nilizaliwa hapa Dar es Salaam, na nimeishi hapa miaka yote kasoro kwa kipindi fulani nilipopata kazi Dodoma. Hapo nimeamua kujieleza kwa sababu nawatafuta ndugu zangu na natumaini mtu mmoja...
Back
Top Bottom