Recent content by Asenga wa Pakaya

  1. Asenga wa Pakaya

    Sixtus Mapunda amvaa Msigwa Iringa, Vijana wasukuma gari yake

    vijana walisukuma gari la six,,,wakiimba kuwa wamemchoka msigwa
  2. Asenga wa Pakaya

    Sixtus Mapunda amvaa Msigwa Iringa, Vijana wasukuma gari yake

    Akiwa anapita Iringa kuelekea Ruvuma kwenye sherehe za miaka38 ya kuzaliuwa CCM, akiwa Ipogolo alisimamishwa na vijana waliokuwa wakiimba na kusukuma gari yake (msigwa tumemchoka,CCM tunaomba ukombozi,,,) FATILIA VIDIO HII http://youtu.be/v9F7ad9EUHU
  3. Asenga wa Pakaya

    Shaka Hamdu Shaka aifata CUF Mtwara

    Naibu Katibu Mkuu Wa Umoja Wa vijana Wa chama cha Mapinduzi Zanzibar Bwana Shaka yupo mkoani Mtwara kwa ziara ya wiki mmoja akitumia mbinu mbali mbali ambazo zimefanikiwa Zanzibar na kukitikisa chama cha CUF Znz hasa wakati Wa mwezi Wa sherehe za miaka 51 ya mapinduzi ya Zanzibar Akiwa Mtwara...
  4. Asenga wa Pakaya

    Nyerere: Pamoja na changamoto, Kiongozi safi hawezi toka nje ya CCM

    Haitaishi milele ila itaishi hadi utakapokufa we na watanzania wote
  5. Asenga wa Pakaya

    Nyerere: Pamoja na changamoto, Kiongozi safi hawezi toka nje ya CCM

    Wewe ndio kilaza hauelewi nenda hapo juu ufungue Vidio ya Mwalimu umsikioize akisema Kiongozi safi watanzania hawezi kutoka nje ya ccm
  6. Asenga wa Pakaya

    UVCCM yafanya Press: Yampongeza Rais kwa kulitolea ufafanuzi suala la ESCROW

    Kama alivyoslaa alivyokuwa akifanyiwa msalabani
  7. Asenga wa Pakaya

    Nyerere: Pamoja na changamoto, Kiongozi safi hawezi toka nje ya CCM

    aliwataka wanaccm kuwa.madhubuti kwa maslahi ya umma ili wawape watz viongozi safi
  8. Asenga wa Pakaya

    Prof. Kitila Mkumbo aisaliti ACT na kujiunga na Team Lowassa, akabidhiwa jukumu la kumshawishi Membe

    hv kwann lowasa anamuogopa sana membe ambaye ata hajaota
  9. Asenga wa Pakaya

    Nyerere: Pamoja na changamoto, Kiongozi safi hawezi toka nje ya CCM

    Hyo inatofautigan na rushwa n rushwa ilikuwapo tangy wakati wa mwalimu
  10. Asenga wa Pakaya

    Nyerere: Pamoja na changamoto, Kiongozi safi hawezi toka nje ya CCM

    alisema hayo pakiwa na changamoto kama za leo msikilizen mwalim ccm ndio chama makini
  11. Asenga wa Pakaya

    Baada ya ushindi mnono wa chadema kilombelo CCM yakata rufaa

    Masikia aliekuwa mratibu wa uchaguzi n Kada wa chadema
  12. Asenga wa Pakaya

    Nyerere: Pamoja na changamoto, Kiongozi safi hawezi toka nje ya CCM

    mkuu ushahidi huu hapa bishana na nyerere anasena."kiongozi safi hawezi kutoka nje ya CCM http://www.youtube.com/watch?v=bQuy-njrnKo&feature=youtube_gdata_player lete hoja ingine najua unatamani angesema.anatotoka ACT
  13. Asenga wa Pakaya

    Nyerere: Pamoja na changamoto, Kiongozi safi hawezi toka nje ya CCM

    Umeona tulichowafanya pale Makao Makuu ya chadema Kinondoni?
  14. Asenga wa Pakaya

    Nyerere: Pamoja na changamoto, Kiongozi safi hawezi toka nje ya CCM

    MWALIMU NYERERE NDANI YA MKUTANO MKUU WA CCM WAKUTEUA MGOMBEA WA URAIS WA CCM MWAKA 1995. mwalimu Nyerere anaanza; "Rais amewaaambieni na mimi na sisitiza ,ntamalizia hapo sitaki kuchukueni muda wenu mrefu Teueni mgombea,ambae atakidhi matarajio ya wananchi (makofi), acha matarajio yako...
Back
Top Bottom