Usijali madhehebu yanasema nini au yanafanya nini,bali Mungu amesema nini katika neno lake... Hiyo ndiyo kweli na sio madhehebu yaliyoanzishwa na wanadamu kama mimi na wewe tu
Halafu 1 tim 2:8-10, 1 pet 3:5, 1 kor 14:35 hayo maandiko yanamuhusu nani, mwanamke haruhusiwi kuwa mchungaji wala shemai wala kupewa kazi yoyote ya kiinjilisti,inatakiwa akahudumie familia yake huko nyumbani,ndo kazi aliyopewa.... Note: Haiwezekani maandiko yapingane... Kibiblia Huyo uwoya...
Hasa yeye alikuwa ni nabii wa ukingoni, yaani kwa kizazi hiki. Yeye ni nabii wa mwisho wa kimataifa,ndiyo maana halisi ya malaki 4, maana yake hakutakuwa na nabii mwingine tena kama akina eliya, ni kwamba hapa sasa tupo katika wakati wa mabaki ya mwisho maana mjumbe alishatangulia mwaka 1965… ni...
Hapana, Biblia ilisema huyu Eliya atakapokuja dunia itateketezwa kwa moto... Swali, baada ya Yohana mbatizaji kuja dunia iliteketezwa kwa moto? Jibu hapana, utagundua hapo malaki 4 sio Yohana mbatizaji, Inamtaja kuwa ni mtu mwingine amabaye atakapowarudisha watu waelekeze mioyo yao kwa baba zao...
Turudi katika maandiko brother...malak 4 na malaki 3 ukiangalia wajumbe hawa wapo katika nyakati tofauti...labda utafite sababu nyingine isipokuwa hapo...si mtu mmoja...tazama tu je alipokuja Yohana dunia iliteketezwa?. Jibu ni hapana bali malaki 3 haioneshi uangamivu wowote..huyu ndiye Yohana...
Biblia haikuruhu talaka...kama ni mujibu wa biblia...yeye amekosea
Hta hvyo Bible haikuwahi kumruhusu kamwe mwanamke kuwa mchungaji,wala muhubiri wala mtume...wala kuhubiri katika kanisa bali imemtaka atii kwa kila namna
Biblia haikuruhu talaka...kama ni mujibu wa biblia...yeye amekosea
Hta hvyo Bible haikuwahi kumruhusu kamwe mwanamke kuwa mchungaji,wala muhubiri wala mtume...wala kuhubiri katika kanisa bali imemtaka atii kwa kila namna
Alikuwa ni Eliya kweli...Malaki 4...ina mjumbe tofauti na malaki 3...malaki 4 inamtaja kwamba baada ya mjumbe huyu kurudisha mioyo ya watoto iwageukie baba zao..Dunia itateketezwa baada ya huyo kupita..hii ni tofauti na malaki 3..ambayo inataja Yohana mbatizaji ambaye aliuandaa ujumbe wa kuja...
Wewe hujawahi kupigana vita kamwe... Ile vita ya Mungu na Shetani ilihamishiwa kwenye akili ya binadamu wala haikuosha hata...wewe umepewa tu uamuzi wa kuchagua ni upande upi wa kukaa na kuusimamia
Kamwe Biblia neno la Mungu haikuruhusu wahudumu wanawake,wahubiri au wachungaji... Hili ni fundisho la kipepo..Hivyo Christina Shusho si mtumishi wa Mungu kulingana na maandiko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.