Nafaham soko la Iringa mkuu kwani nimeuza sana mayai na najua demand bado ni kubwa sana hasa kwa miezi ya baridi.Sijajua kuna wafugaji wangapi wa layers ila soko la mayai ndo ninauzoefu nalo
Kuna wafanyabiashara wengine hawaingilii faida kubwa sana ila wanapendelea mzunguko(utokaji) ndo uwe mkubwa kwani faida inapatikana haraka na hivo kuwa kubwa zaidi
Mkuu target ni kufuga kuku wa mayai zaidi ya elfu 10.Nikifikia lengo hilo soko la Iringa pekee halitatosha kukidhi idadi hiyo ya mayai ndo maana nimetarget soko la Dar pia.Kuhusu cost ya usafiri itakuwa compensated na idadi kubwa ya mayai yatakayouzwa Dar
Nashukuru kwa maelezo mazuri mkuu.Kiukweli upo sahihi sana.Kuhusu vyombo vya kufugia na gharama za kusafirishia chakula vipo ila pia itakuwa na makubaliano kati ya partners
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.