Samahani kama ntakuwa nimekoseaa lakini ukiangalia kwa upande mwingine naona kama tatzo liko kwako...watu wawili wanapokutana na kuamua kuish pamoja kila mtu huwa anakuja na lifestyle ya kutoka kwao alipolelewa lakini ili muweze kuish pamoja inabid kila mmoja ajue ni lyfestyle gan alitoka nayo...
Mapenzii ni sirii...Mapenzii ni uchafu na Mapenzii ni furaha...Yaani mwanamke ampe mwanaume furaha na mwanaume ampe mwanamke furaha...Sex is happy ending...Kama mlizoesha kuwa mwanaume anyonywe ndo afurah bas iwe hvo na kwa mwanamke iwe hvo...mke kama mume amekwambua hayuko comfortable kunyonywa...
Me mke wng ananifanyia hvo kilaa siku na anajua hiyo ndo weakness yangu...ata usiku tukilala lazima anichokoze kwa style hyo...acheni kuwaza vinginevyo
1. Anavowatreat wafanyakazii sipendi afu ukizingatia wao ndo wanatulelea wanetu...Muda mwingine naumia sana...nishamwambia kuwa apunguze lkn hasikiii
Hilo ndo kubwaa
Naimbenii msaada mimi nilideposit kwa kutumia tgo pesa kwny 1xbet sasa kwny kuwithdraw hakna option ya kupitia tgo pesa..ipo kwa mpesa tu ambayo kwngu siwez itumia...nafanyaje nitoe ela
Naunga Mkono hojaa!!!...Mimi kwa Mke wangu siombiii ata kdgo na haipiti siku mbilii ni mizagamuo..akipita nikishika tako tu basi mizagamuo inaanza....Kwnza sijawah ata siku moja kumuomba...huwa tunaanza tu automatically na ikipita siku 3 bc ujue tunakaugomvi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.