Recent content by Asante21

  1. A

    JamiiForums Tanzania Majambazi nchini Ireland ya kaskazini wanyofoa mashine ya ATM kwa kutumia tingatinga.

    Hatari fire. Natamani sana Tanzania ifike mbali, juhudi zangu haziishii tu kutamani bali natoa msaada wa vitabu vya kisasa nyanza zote. Nitumie jina la kitabu na edition tu nikutafutie. Kuweni na siku njema asante wote!
  2. A

    JamiiForums Tanzania Fundi Ujenzi (Mangi) kutoka Moshi Kabla hajarudi Moshi

    Mbona kashapewa kazi msikirie kwamba kila vinavyokaza kwako nakwawengine ni hivyo.
  3. A

    JamiiForums Tanzania Fundi Ujenzi (Mangi) kutoka Moshi Kabla hajarudi Moshi

    Such a negative minds, none of your business.
  4. A

    JamiiForums Tanzania Fundi Ujenzi (Mangi) kutoka Moshi Kabla hajarudi Moshi

    Sikushangai maana ndio tulivyo, hatakama hayakuhusu utapoteza mda kuandika ujinga. Lawama siufikie mfumo!
  5. A

    JamiiForums Tanzania Fundi Ujenzi (Mangi) kutoka Moshi Kabla hajarudi Moshi

    Kaka ukisikia mtu yupo Canada Marekani au Europe usishtuke maana unachokiona kwenye TV sio reality. Na hatakama ningekua na hela bado nisingependa kuzitumia vibaya eti kwavile nipo Canada.
  6. A

    JamiiForums Tanzania Fundi Ujenzi (Mangi) kutoka Moshi Kabla hajarudi Moshi

    Tokea nimtoe Moshi alikua anafanya kazi zangu, ila anauzoefu mkubwa sana na sio mwanafunzi.
  7. A

    JamiiForums Tanzania Fundi Ujenzi (Mangi) kutoka Moshi Kabla hajarudi Moshi

    Naishi nchini Canada nilikua najenga bongo, kutokana na mafundi wengi hapo bongo wamekua wababaishaji, wezi wa vifaa na uchakachuaji niliamua kumtoa fundi kutoka Moshi. Mafundi kutoka Moshi niwauhakika na bei poa sana. Kafanya kazi yangu vizuri na nimeipenda sana, hakuna longolongo nauzuri...
Back
Top Bottom