Recent content by ARYANNA

  1. A

    JamiiForums Tanzania Wizi kupitia mtandao

    Habarini wadau hivi mnajua asilimia 85 ya watu wanaotumia mtandao wanaibiwa bila wao kujijuwa>>> isitoshe wewe hapo unavyo jisajiri mahali popote kunawatu wanaweza kupata detail zako ziwe za benki ama nyengine bila ridha yako watu wengi wameshaumia sana na wengine wanaumia na wataendelea...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Nyumba zinapangishwa 1.kiwalani 2.mbezi beach

    A) Nyumba ipo kiwalani bombom kijiwesamli Inavyumba 3 mmoja wapo master Inachoo cha ndani kimoja sebule, jiko inauwanja mkubwa wakupumzikia pamoja na choo cha njee Gharama yake ni 350000 (Tsh)kwa mwezi B) Nyumba ipo mbezi Beach karibu na shule ya msingi ya mbezi beach Inavyumba 4 mmoja...
  3. A

    JamiiForums Tanzania Family home

    HABARI WADAU Na habari nzuri nataka kuwatangazia kwa wale ambao wanahitaji na wana tafuta nyumba ya kifamilia.(YAKUPANGISHA) NYUMBA INA VYUMBA 3(1MASTER BEDROOM) CHOO CHA NDANI 1 CHOO CHA NJE NA BAFU 1 JIKO KWA NDANI SEBULE nk UWANJA MKUBWA HAPA HAPA DAR BEI NAFUU KWAMAWASILIANO YA MWANZO...
Back
Top Bottom