Nyumba zinapangishwa 1.kiwalani 2.mbezi beach

Nyumba zinapangishwa 1.kiwalani 2.mbezi beach

ARYANNA

New Member
Joined
Jun 19, 2012
Posts
4
Reaction score
1
A)

  • Nyumba ipo kiwalani bombom kijiwesamli
  • Inavyumba 3 mmoja wapo master
  • Inachoo cha ndani kimoja
  • sebule, jiko
  • inauwanja mkubwa wakupumzikia pamoja na choo cha njee
  • Gharama yake ni 350000 (Tsh)kwa mwezi
B)

  • Nyumba ipo mbezi Beach karibu na shule ya msingi ya mbezi beach
  • Inavyumba 4 mmoja wapo ni master
  • Inachoo na bafu kimoja kwa ndani
  • Sebule,jiko,dining room,store
  • Gharama yake ni 600000 (Tsh) kwa mwezi
Mawasilano(0717464190)
 
Nyumba ya laki 6 Mbezi beach? !!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom