Namba ya watu Dar na Mbeya Ni tofauti kwa maana Dar Kuna idadi kubwa ya watu .Nauri uliyotumia kutoka Dar kwenda Mbeya ilikuwa Ni mtaji tosha kabisa wa biashara ndogondogo ambayo ungeweza kuisimamia vizuri mpaka mtaji ukaongezeka ,kwa hapo Mbeya Kama unaweza kazi labda uende mbarali shambani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.