Ndugu huyo hakukuelrwesha vizuri kalyinda inakulipa faida kulingana na hela uliyoweka na kazi iliyoifanya kama umeweka elfu 20000 utapata 800 kasiku ambayo ni 4% ila kadri hela inavoongezeka na malipo yanapanda pia atakae weka laki moja atalipwa asilimia 4% ya hiyo laki moja ni ukweli mtupu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.