Recent content by Arnold Tengi

  1. A

    JamiiForums Tanzania Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Wajamvi kuna hii campuni ya china post air mail, naona inafanya free shipping from china to tanzania, vip inauhakika wa kupokea mzigo?
  2. A

    JamiiForums Tanzania Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    wadau naombeni msaada kidogo hapa, nimefanya shopping amazon kwa kutumia anuani ya comgetway, na baada ya kujaza kila kitu, hapa mwisho kabisa amazon wameniletea order total tshs 170000, je hii fedha ina include shipping kutoka comgetway mpaka hapa bongo? au inabidi niwalipe tena comgetway...
  3. A

    JamiiForums Tanzania Biashara ya "PHOTO STUDIO"

    Yeah kweli nimeona inakwenda around USD 17000 excluding shipping nafikiri, sasa hizo kampuni zilizokua zinatoa kwa fee flani hapa bongo zipo? Pia niliiangalia hiyo frontier DL 600 eBay used ipo chini kidogo je niiagizie
Back
Top Bottom