Wanaobisha kwamba ACT siyo CCM B inafaa wajiulize kuwa ACT wametoa wapi pesa zitakazowasaidia kuzunguka nchi nzima???
Ikumbukwe tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi,CCM wamekuwa na tabia ya kuanzisha tuvyama vyama ili kupunguza nguvu ya upinzani.kuanzisha chama ni gharama kubwa ndio maana...
Serikali yetu haijawahi kubuni au kufanya jambo likafanikiwa kwa 100%.
Hata hivyo siyo mbaya angalau wakati huu wa kuelekea uchaguzi,kodi za watanzania zinafanya kazi.
CCM wanawasema wenzao wa Chadema kuwa chama chao hakina office kumbe hata wao hawawezi kukununua speaker na vipaza sauti?
Si ajabu waliwahi kuchangishana pesa za kununulia vyombo vya matangazo alafu pesa zikaliwa na wakubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.