mbona Kikwete pia alikuwepo kwenye list na ndo mwenyekiti wa chama chenu!? Pamoja na Mkapa kabisa ambae pia ni mzee wa chama? Nasikitika kumchambua Lowassa mmoja wakat 10/11 wote wamebaki ccm? Alf jiulize kwann kina Kikwete wampige vita Lowassa na wote wako kundi moja!??
mleta mada unaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.