Mtazamo wangu ni kwamba, tunataka demokrasia ya kweli. Wanaotangaza nia wote katika vyombo vya habari ni wana CCM tuu, does it mean campaigns zimeeanza kwa chama tawala au...
I thout kama vyama vingine vingepata coverage mapema, na endapo Wagombea urais wangetambuliwa mapema, huenda sera zao...